Tuesday, October 09, 2012

BALOZI DR.KAMALA ALIVYOKARIBISHWA NCHINI UBELGIJI

 Dr Diodorus Kamala balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania na Watanzania waliomkaribisha nchini humo.
 Mke wa Balozi Kamala kulia akiwa na baadhi ya Watanzania waliomkaribisha nchini Ubelgiji.
Watoto wa Balozi Kamala waliovaa nguo za zambarau walikuwa miongoni mwa walioudhuria sherehe ya kumkaribisha na Dr. Kamala nchini Ubelgiji  iliyoandaliwa na Watanzania waishio nchini humo.

No comments:

Post a Comment