Wednesday, October 10, 2012

WAWAKILISHI WA KAMPUNI YA FINLAND INYONUNUA KAHAWA YA KCU WAKO KAGERA

Meneja wa masoko ya nje John Kanjagaile akisisitiza jambo mbele ya wawakilishi toka nchini Finland inayonunua kahawa inayokusanywa na chama cha ushirika mkoani Kagera (KCU).

No comments:

Post a Comment