Monday, November 05, 2012

EDIUS NJUNWA MWESIGA APATA MWENZA WAKE ELIDA NTUNGILWEGE.

 Maharusi Edius Njunwa na Elida Tungilwege wakiwa nje ya kanisa muda mfupi baada ya kufunga ndoa yao takatifu katika kanisa la kiinjili la kirutheri lililoko katika manispaa ya Bukoba.
 Bwana na Bibi, Jonas Lwezaura mashahidi wa ndoa wa Edius Mwesiga na Elida Ntugilwege.
 Wazazi wa Edius Njunwa Mwesiga wakiwa kwenye ukumbi wa Bukoba Club ambao harusi ilifanyika.
 Maharusi wakikata utepe.
 Mambo ya keki hayo.
 Maharusi wakilishana Keki.
Watoto waliosimamia harusi, kutoka kulia ni Benson Baina, Kalumuna Rugalabamu, Ayesiga Rugalabamu na Stella.

1 comment: