Friday, November 02, 2012

KIKAO CHA MTANDAO UNAOYAUNGANISHA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KAGERA

 Dr George Buberwa akiongea wakati wa kikao cha mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali Kagera KANGONET  kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Kagera.
 Wajumbe halali wa KANGONET.
 Wajumbe wengine.

 Bw. Kiiza alikuwa mmoja wa walioudhuria kikao cha KANGONET, wajumbe wa mtandao huo walikuwa wakulalamikia uongozi ulioko madaraka ambao ni pamoja na Katibu Christan Byamungu na mwenyekiti Yusto Mchuruza, walisema viongozi hao hawana imani nao.
 Kimani na Michael.

Afisa maendeleo ya jamii mkoani Kagera Charles Mwafimbo ndiye aliyeongoza kikao hicho.

No comments:

Post a Comment