Thursday, June 27, 2013

MAMBO YA WAZIRI MKUU

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Bw. Lars Christian Rais Mtendaji wa STATOIL kampuni ambayo imegundaua gesi katika maji ya bahari yenye kina kirefu katika eneo la Mtwara, bungeni mjini Dodoma Juni 27, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia kwa Nchi za Tanzania, Burundi na Uganda, Ofisini kwake bungeni ini dodoma Juni 27,2013.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment