Friday, April 11, 2014

PINDA AKABIDHI FEDHAZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw.  Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa  wachimbaji madini wadogowadogo  waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni Mkurugeni wa Benki ya TIB, Peter Noni.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akiagana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter muhongo  (katikati) na Mkurugenzi wa Benki ya TIB, Peter Noni (kulia) baada ya kukabidhi  fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogowadogo zilizotolewa na Serikali kupitia Benki ya TIB . Makabidhiano ya hundi za fedha hizo  yalifanyika kwenye Chuo cha Madini mjini Dodoma Aprili 9, 2014. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment