Sunday, January 18, 2015

JK AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri cha
kwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015.
Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushoto
kwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda


PICHA NA IKULU


No comments:

Post a Comment