Friday, January 23, 2015

KIKAO CHA DHARULA CHA HALMASHAURI KUU YA CCM BUKOBA VIJIJINIMwe

Mwenyekiti wa CCM Bukoba vijijini Novatus Kwama akiongoza kikao cha halmashauri kuu ya CCM Bukoba vijijini, kulia kwake ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa CCM, Nazir Kalamagi
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho, kushoto mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bukoba , Dauda Kateme
Katibu wa CCM Bukoba vijijini Mwishehe Acheni

No comments:

Post a Comment