Sunday, January 25, 2015

KIKAO CHA WATENDAJI WA WIZARA YA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI NA WAJASILIAMALI

Naibu waziri wa Afrika Mashariki AMANTIUS MSOLE  akisikiliza kwa makini hija zilizokuwa zinatolewa na wajasiliamali mkoani Kagera juu ya changamoto wanazokabiliana nazo zinazohusina na soko la pamoja la jumua ya afrika mashariki, alikutana nao kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Kagera.

No comments:

Post a Comment