Monday, March 09, 2015

PINDA ATEMBELEA SOKO LA MIEMBENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua bei ya mahindi katika soko  la Miembeni mjini Dodoma Machi 8, 2015. Alipita sokoni hapo kukagua upatikanaji wa vyakula. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapa maelezo kuhusu kilimo cha zabibu Walimu wa Shule za Kata ya Zuzu, Dodoma waliokwenda shambani kwake Machi 8, 2015 kwa ziara ya kujifunza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment