Wednesday, April 08, 2015

DR.KAMALA NCHINI UBELGIJI

Pichani ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Afrika, Karibiani na Pacific Balozi Patrick Gomes (kushoto) baada ya kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala P ofisini kwake Ubeligiji. Kulia ni Balozi Jagne msaidizi wa Balozi Gomes.
                             

No comments:

Post a Comment