Thursday, May 21, 2015

BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akijibu maswali bugeni mjini Dodoma, Mei 21, 2015.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri MkuuSera Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuuu)
 
Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha Rose Migiro  akiwasilisha Makadirio  ya Matumizi ya wizara hiyo , bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment