Monday, May 18, 2015

WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge  kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 18, 20154, Victor Mwambalaswa wa Lupa, Sylvester Mabumba  wa  Dole na Dkt. Hamisi Kigwangalla wa Nzega. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mbunge wa Viti Maalum, Riziki Lulida kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 18, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment