Wednesday, July 15, 2015

WAZIRI MKUU AWASILI KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakisalimiana na viongozi wa mkoa wa Katavi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Julai 15, 2015. Mheshimiwa Pinda atakuwa Mkoani Katavi   kwa mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Tawla wa Mkoa wa Katavi,Mhandisi Emmanuel Kalobelo  baada ya kuwali kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Julai 15, 2015 kwa mapumziko mafupi mkoani Katavi . Kulia ni Mkuu wa koa huo, Dkt. Ibrahim Mzengi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment